• Je, unafahamu kwanini Baba Mtakatifu Benedikto XVI alistaafu?
    Feb 21 2025

    Ungana nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bikoba, akijibu moja ya swali lilioulizwa na Msikilizaji akihoji, kwanini Baba Mtakatifu Benedikto XVI alistaafu?

    L'articolo Je, unafahamu kwanini Baba Mtakatifu Benedikto XVI alistaafu? proviene da Radio Maria.

    Show more Show less
    56 mins
  • Je, kuna utofauti gani kati ya Mama Kanisa na Mama wa Kanisa?
    Feb 21 2025

    Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tunaungana na Frateri Costantine Haruna kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali lililoulizwa na Msikilizaji akihoji, kuna tofauti gani kati ya Mama Kanisa na Mama wa Kanisa?

    L'articolo Je, kuna utofauti gani kati ya Mama Kanisa na Mama wa Kanisa? proviene da Radio Maria.

    Show more Show less
    30 mins
  • Je, Makanisa ya Orthodox yaliyopo Tanzania yamerudi Ukatoliki?
    Feb 21 2025

    Karibu uungane nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, akiendelea kujibu maswali ya Msikilizaji na moja ya swali hilo ni Je, Makanisa ya Orthodox yaliyopo Tanzania yamerudi Ukatoliki?

    L'articolo Je, Makanisa ya Orthodox yaliyopo Tanzania yamerudi Ukatoliki? proviene da Radio Maria.

    Show more Show less
    57 mins
  • Je, unafahamu namna bora ya kukabiliana na huzuni?
    Feb 21 2025

    Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha ijue afya yako, Wawezeshaji ni Dokta Rose na Dokta Wilson Mgaya kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mtakatifu Fransisko wa Asizi, Jimbo Katoliki Ifakara, wakizungumzia juu ya namna bora ya kukabiliana na huzuni.

    L'articolo Je, unafahamu namna bora ya kukabiliana na huzuni? proviene da Radio Maria.

    Show more Show less
    45 mins
  • Fahamu lishe bora kwa Watoto wenye umri kuanzia miezi sita.
    Feb 21 2025

    Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Chakula na Lishe, Wawezeshaji ni Maria Ngilisho na Nusura Salum, Afisa Lishe Watafiti kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), leo wanatufundisha juu ya Ulishaji wa Watoto kuanzia umri wa miezi sita.

    L'articolo Fahamu lishe bora kwa Watoto wenye umri kuanzia miezi sita. proviene da Radio Maria.

    Show more Show less
    1 hr
  • Zifahamu sifa Kumi na Tano za Wanawake.
    Feb 20 2025

    Ungana na Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo sifa za kumi na tano za Wanawake yaani akina mama.

    L'articolo Zifahamu sifa Kumi na Tano za Wanawake. proviene da Radio Maria.

    Show more Show less
    42 mins
  • Fahamu Mazingira namna linavyo tumika Jina la Mungu?
    Feb 20 2025

    Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Ayuto Kongwa Kulolwa Kutoka Seminari ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Usitaje bure jina la Mungu na wale wanao apa wanalitumia vyema?

    L'articolo Fahamu Mazingira namna linavyo tumika Jina la Mungu? proviene da Radio Maria.

    Show more Show less
    29 mins
  • Mama Bikira Maria ni Matumaini kwa Mahujaji.
    Feb 20 2025

    Ungana nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akiendelea kutufundisha juu ya Matumaini tunapo mtazama Mama Bikira Maria Mama wa Matumaini.

    L'articolo Mama Bikira Maria ni Matumaini kwa Mahujaji. proviene da Radio Maria.

    Show more Show less
    52 mins